-
Mwanzo 28:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Yakobo akaondoka Beer-sheba na kuenda Harani.+
-
-
Mwanzo 30:43Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
43 Na mwanaume huyu akakuwa tajiri sana, na akakuwa na makundi mengi, watumishi wanaume na watumishi wanamuke na ngamia na punda.+
-
-
Mwanzo 32:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Na Yakobo akaogopa sana na akakuwa na wasiwasi.+ Kwa hiyo akagawanya watu wenye walikuwa pamoja naye, na pia makundi, ngombe, na ngamia, katika kambi mbili.
-