Kutoka 37:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Alitengeneza pia mafuta matakatifu ya kutia mafuta+ na uvumba safi, wenye marashi,+ wenye kuchanganywa muzuri.* 1 Wafalme 1:39 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 39 Kisha Sadoki kuhani akakamata pembe ya mafuta+ kutoka katika hema+ na akamutia Sulemani mafuta,+ na wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Mufalme Sulemani aishi siku nyingi!” Zaburi 89:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Nimemupata Daudi mutumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemutia mafuta.+
29 Alitengeneza pia mafuta matakatifu ya kutia mafuta+ na uvumba safi, wenye marashi,+ wenye kuchanganywa muzuri.*
39 Kisha Sadoki kuhani akakamata pembe ya mafuta+ kutoka katika hema+ na akamutia Sulemani mafuta,+ na wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Mufalme Sulemani aishi siku nyingi!”