13 Lakini Musa akamuambia Mungu wa kweli: “Tuseme ninaenda kwa Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa mababu zenu amenituma kwenu,’ nao wakiniambia, ‘Jina lake ni nani?’+ Nitawaambia nini?”
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+