Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 “‘Munapaswa kujitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Mambo ya Walawi 20:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Munapaswa kuwa watakatifu mbele yangu, kwa sababu mimi, Yehova, niko mutakatifu,+ na ninawatenga na vikundi vingine vya watu ili mukuwe watu wangu.+

  • Yoshua 24:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kisha Yoshua akaambia watu: “Hamuwezi kumutumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mutakatifu;+ yeye ni Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu.+ Hatasamehe makosa yenu* na zambi zenu.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  2 Hakuna mwenye kuwa mutakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine