Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Sala ya Hana (1-11)

      • Zambi za wana wawili wa Eli (12-26)

      • Yehova anahukumu nyumba ya Eli (27-36)

1 Samweli 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nguvu yangu.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 13:6; Lu 1:46

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 57

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2010, uku. 17

1 Samweli 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11; Kum 4:35; Zab 73:25; 86:8; 89:6
  • +Kum 32:4

1 Samweli 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 36:4; 37:16; Rom. 11:33

1 Samweli 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:29

1 Samweli 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amefifia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 1:53
  • +1 Sa. 1:11, 20

1 Samweli 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “analeta kwenye uzima.”

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:39; Yob 14:13; Zab 30:3; 49:15; 68:20; Ho 13:14; Yoh 11:24; 1 Kor. 15:55

1 Samweli 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:18; 28:12; 2Nya 1:11, 12; Yob 42:12; Mez. 10:22
  • +Zab 75:7

1 Samweli 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “yalala.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 113:5, 7; Lu 1:52
  • +Zab 102:25

1 Samweli 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 91:11; 97:10; 121:3
  • +Zab 37:28
  • +Zab 33:16; Zek 4:6

1 Samweli 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Wale wenye kushindana na Yehova wataogopeshwa sana.”

  • *

    Ao “nguvu.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:6
  • +1 Sa. 7:10; 2 Sa. 22:14; Zab 18:13
  • +Zab 96:13; Mdo 17:31
  • +Zab 2:6; 110:1; Mt 28:18
  • +Lu 1:69; Mdo 4:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 57

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2010, uku. 17

    15/3/2005, uku. 21

1 Samweli 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alikuwa anamutumikia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:11; 3:1, 15

1 Samweli 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 61

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 15

1 Samweli 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uma wenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:34

1 Samweli 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uma huo uliinua.”

1 Samweli 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:3-5

1 Samweli 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chenye nafsi yako inatamani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:16; 7:25, 31

1 Samweli 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:29

1 Samweli 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amefungwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:11; 3:15
  • +2 Sa. 6:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 61

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 15

1 Samweli 2:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:14; 1 Sa. 1:3, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 57-58

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2010, uku. 18

1 Samweli 2:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:27, 28

1 Samweli 2:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 21:1, 2; 1 Sa. 1:19
  • +1 Sa. 2:26; 3:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 63

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 16

1 Samweli 2:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:12-17
  • +Kut 38:8; Law. 21:6

1 Samweli 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Mungu atakuwa mupatanishi wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 15:31; 1 Sa. 2:17; 3:13, 14
  • +Mez. 29:1; 30:17

1 Samweli 2:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2002, uku. 25

1 Samweli 2:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 4:14, 27

1 Samweli 2:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kuchoma zabihu ili zitoe moshi.”

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:1; Law. 8:12; Hes 17:5, 8
  • +Hes 18:7
  • +Law. 2:3; 6:16; 10:14; Hes 5:9; 18:9

1 Samweli 2:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “munapiga miguu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:8; Yosh. 18:1; 1 Sa. 1:3
  • +1 Sa. 2:14-16

1 Samweli 2:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:43
  • +Zab 18:20; 91:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 25-26

1 Samweli 2:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukono wako na wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 3:14; 4:11, 18; 22:18; 1 Fal. 2:27

1 Samweli 2:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:60, 61

1 Samweli 2:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atafanya nafsi yako ikuwe zaifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:18, 21

1 Samweli 2:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 4:11, 17

1 Samweli 2:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mambo yenye kuwa katika moyo wangu na katika nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:27, 35; 1Nya 29:22

1 Samweli 2:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:3; Hes 5:9

Maandiko ingine

1 Sam. 2:1Zab 13:6; Lu 1:46
1 Sam. 2:2Kut 15:11; Kum 4:35; Zab 73:25; 86:8; 89:6
1 Sam. 2:2Kum 32:4
1 Sam. 2:3Yob 36:4; 37:16; Rom. 11:33
1 Sam. 2:4Isa 40:29
1 Sam. 2:5Lu 1:53
1 Sam. 2:51 Sa. 1:11, 20
1 Sam. 2:6Kum 32:39; Yob 14:13; Zab 30:3; 49:15; 68:20; Ho 13:14; Yoh 11:24; 1 Kor. 15:55
1 Sam. 2:7Kum 8:18; 28:12; 2Nya 1:11, 12; Yob 42:12; Mez. 10:22
1 Sam. 2:7Zab 75:7
1 Sam. 2:8Zab 113:5, 7; Lu 1:52
1 Sam. 2:8Zab 102:25
1 Sam. 2:9Zab 91:11; 97:10; 121:3
1 Sam. 2:9Zab 37:28
1 Sam. 2:9Zab 33:16; Zek 4:6
1 Sam. 2:10Kut 15:6
1 Sam. 2:101 Sa. 7:10; 2 Sa. 22:14; Zab 18:13
1 Sam. 2:10Zab 96:13; Mdo 17:31
1 Sam. 2:10Zab 2:6; 110:1; Mt 28:18
1 Sam. 2:10Lu 1:69; Mdo 4:27
1 Sam. 2:111 Sa. 1:11; 3:1, 15
1 Sam. 2:121 Sa. 2:22
1 Sam. 2:13Law. 7:34
1 Sam. 2:15Law. 3:3-5
1 Sam. 2:16Law. 3:16; 7:25, 31
1 Sam. 2:171 Sa. 2:29
1 Sam. 2:181 Sa. 2:11; 3:15
1 Sam. 2:182 Sa. 6:14
1 Sam. 2:19Kut 23:14; 1 Sa. 1:3, 21
1 Sam. 2:201 Sa. 1:27, 28
1 Sam. 2:21Mwa 21:1, 2; 1 Sa. 1:19
1 Sam. 2:211 Sa. 2:26; 3:19
1 Sam. 2:221 Sa. 2:12-17
1 Sam. 2:22Kut 38:8; Law. 21:6
1 Sam. 2:25Hes 15:31; 1 Sa. 2:17; 3:13, 14
1 Sam. 2:25Mez. 29:1; 30:17
1 Sam. 2:261 Sa. 2:21
1 Sam. 2:27Kut 4:14, 27
1 Sam. 2:28Kut 28:1; Law. 8:12; Hes 17:5, 8
1 Sam. 2:28Hes 18:7
1 Sam. 2:28Law. 2:3; 6:16; 10:14; Hes 5:9; 18:9
1 Sam. 2:29Kut 25:8; Yosh. 18:1; 1 Sa. 1:3
1 Sam. 2:291 Sa. 2:14-16
1 Sam. 2:30Kut 28:43
1 Sam. 2:30Zab 18:20; 91:14
1 Sam. 2:311 Sa. 3:14; 4:11, 18; 22:18; 1 Fal. 2:27
1 Sam. 2:32Zab 78:60, 61
1 Sam. 2:331 Sa. 22:18, 21
1 Sam. 2:341 Sa. 4:11, 17
1 Sam. 2:351 Fal. 2:27, 35; 1Nya 29:22
1 Sam. 2:36Law. 2:3; Hes 5:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 2:1-36

Cha Kwanza cha Samweli

2 Kisha Hana akasema katika sala:

“Moyo wangu unashangilia katika Yehova;+

Pembe yangu* imeinuliwa na Yehova.

Kinywa changu kimefunguliwa wazi juu ya maadui wangu,

Kwa maana ninashangilia katika matendo yako ya wokovu.

 2 Hakuna mwenye kuwa mutakatifu kama Yehova,

Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

 3 Musiendelee kuzungumuza kwa kiburi;

Neno lolote la majivuno lisitoke katika kinywa chenu,

Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

Na anapima matendo kwa njia ya haki.

 4 Pinde za wanaume wenye nguvu zinavunjwa-vunjwa,

Lakini wale wenye kujikwaa wanapewa nguvu.+

 5 Wenye kukulishwa muzuri wanapaswa kufanya kazi ili wapate mukate,

Lakini wenye njaa hawana njaa tena.+

Tasa amezaa watoto saba (7),+

Lakini mwanamuke mwenye alikuwa na wana wengi ameachwa peke yake.*

 6 Yehova anaua, na analinda uzima;*

Anashusha katika Kaburi,* na anainua.+

 7 Yehova anafanya kuwa maskini, na anafanya kuwa tajiri;+

Anashusha, na anainua.+

 8 Anainua mutu wa hali ya chini kutoka katika mavumbi;

Anainua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+

Ili awafanye wakae pamoja na wakubwa,

Na kuwapatia kiti cha heshima.

Nguzo za dunia ni za Yehova,+

Na anatia inchi yenye kuzaa juu yao.

 9 Analinda hatua za washikamanifu wake;+

Lakini waovu watanyamazishwa katika giza,+

Kwa maana haiko nguvu ndiyo inafanya mwanadamu ashinde.+

10 Yehova atawavunja-vunja wale wenye kupigana naye;*+

Atanguruma juu yao akiwa mbinguni.+

Yehova atahukumu mupaka kwenye miisho ya dunia,+

Atamupatia nguvu mufalme wake,+

Na kuinua pembe* ya mutiwa-mafuta wake.”+

11 Basi Elkana akaenda kwenye nyumba yake kule Rama, lakini ule mutoto mwanaume akakuwa mutumishi wa* Yehova+ mbele ya kuhani Eli.

12 Sasa wana wa Eli walikuwa watu waovu;+ hawakumuheshimia Yehova. 13 Ni hivi walifanya kuhusu haki ya makuhani kutoka kwa watu:+ Kila mara wakati mutu yeyote alikuwa anatoa zabihu, mutumishi wa kuhani alikuja na kanya yenye* meno tatu (3) katika mukono wake wakati nyama ilikuwa inatokota, 14 na aliingiza kwa nguvu ndani ya beseni, chungu cha kupikia chenye mikono mbili, sufuria kubwa, ao chungu cha kupikia chenye mukono mumoja. Kitu chochote chenye kanya hiyo iliinua,* kuhani alikuwa anakikamata kwa ajili yake mwenyewe. Ni vile walikuwa wanatenda katika Shilo kwa Waisraeli wote wenye walikuja kule. 15 Pia, hata mbele mutu mwenye kutoa zabihu achome mafuta ili yatoe moshi,+ mutumishi wa kuhani alikuwa anakuja na kumuambia, “Patia kuhani nyama ili achome. Hatakamata nyama yenye kutokoteshwa kutoka kwako, nyama ya mubichi tu.” 16 Wakati mutu huyo alimuambia: “Acha kwanza wahakikishe kwamba mafuta yanachomwa ili yatoe moshi,+ kisha ujikamatie kitu chochote unataka,”* alikuwa anasema: “Hapana, unipatie sasa hivi; kama haunipatie, nitaikamata kwa nguvu!” 17 Kwa hiyo zambi ya watumishi hao ikakuwa kubwa sana mbele ya Yehova,+ kwa maana watu hao walitendea toleo la Yehova bila heshima.

18 Sasa Samweli alikuwa anatumikia+ mbele ya Yehova, akiwa amevaa* efodi ya kitani,+ hata kama alikuwa kijana tu. 19 Pia, mama yake alikuwa anamutengenezea koti ya kidogo yenye haina mikono, na kumuletea mwaka kwa mwaka wakati alipanda pamoja na bwana yake ili kutoa zabihu ya kila mwaka.+ 20 Na Eli akabariki Elkana na bibi yake na kusema, “Yehova akupatie mutoto kutoka kwa bibi huyu pa nafasi ya ule mwenye alikopeshwa kwa Yehova.”+ Na wakarudia kwao. 21 Yehova akaelekeza uangalifu wake kwa Hana, ili aweze kupata mimba;+ na akazaa watoto wanaume wengine watatu (3) na watoto wanamuke wawili. Na kijana Samweli akaendelea kukomaa mbele ya Yehova.+

22 Sasa Eli alikuwa amezeeka sana, lakini alikuwa amesikia mambo yote yenye wana wake walikuwa wanatendea+ Israeli wote na namna walikuwa wanalala na wanamuke wenye walitumika kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+ 23 Alikuwa anawaambia: “Sababu gani munaendelea kufanya mambo ya namna hii? Kwa maana mambo yenye niko ninasikia juu yenu kutoka kwa watu wote ni ya mubaya. 24 Hapana, wana wangu, habari yenye ninasikia ikienea kati ya watu wa Yehova haiko ya muzuri. 25 Kama mwanadamu anamutendea zambi mwanadamu mwenzake, mutu fulani anaweza kumulilia Yehova kwa ajili yake;* lakini kama mwanadamu anamutendea Yehova zambi,+ ni nani anaweza kusali kwa ajili yake?” Lakini walikataa kumusikiliza baba yao, kwa sababu Yehova alikuwa ameazimia kuwaua.+ 26 Wakati huo, kijana Samweli aliendelea kukomaa kwa umbo na katika kukubaliwa na Yehova na wanadamu.+

27 Mutu wa Mungu akakuja kwa Eli na kumuambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 28 Na alichaguliwa katikati ya makabila yote ya Israeli+ ili anitumikie akiwa kuhani wangu na kupanda juu ya mazabahu yangu+ ili kutoa zabihu, kutoa uvumba,* na kuvaa efodi mbele yangu; na nilipatia nyumba ya babu yako matoleo yote ya Waisraeli* yenye yanatolewa kwa njia ya moto.+ 29 Sababu gani ninyi wanaume munazarau* zabihu yangu na toleo langu lenye nimeamuru katika makao yangu?+ Sababu gani unaendelea kuheshimia wana wako kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kupitia sehemu za muzuri sana za kila toleo la watu wangu Israeli?+

30 “‘Ndiyo sababu Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Kwa kweli nilisema kwamba nyumba yako na nyumba ya babu yako itatembea mbele yangu sikuzote.”+ Lakini sasa Yehova anasema: “Ni jambo lenye siwezi kuwazia, kwa sababu wale wenye kuniheshimia nitawaheshimia,+ lakini wale wenye kunizarau watazarauliwa.” 31 Angalia! Siku zinakuja wakati nitakata nguvu zako na za* nyumba ya baba yako, na hivyo hakuna mwanaume wa nyumba yako mwenye ataishi mupaka miaka ya uzee.+ 32 Na utamuangalia adui katika makao yangu katikati ya mambo yote ya muzuri yenye Israeli anatendewa,+ na hakutakuwa tena muzee katika nyumba yako hata siku moja. 33 Mwanaume wako mwenye sitaondoa ili aendelee kutumika kwenye mazabahu yangu atafanya macho yako yafifie na atakuletea huzuni,* lakini hesabu kubwa ya watu wa nyumba yako itakufa kwa upanga wa wanadamu.+ 34 Na mambo yenye yatafikia wana wako wawili, Hofni na Finehasi, yatakuwa alama kwako: Wote wawili watakufa katika siku moja.+ 35 Kisha nitajiinulia kuhani muaminifu.+ Atatenda kulingana na tamaa ya moyo wangu;* na nitamujengea nyumba ya kudumu, na atatembea mbele ya mutiwa-mafuta wangu sikuzote. 36 Mutu yeyote mwenye atabakia katika nyumba yako atakuja na kumuinamia ili alipwe feza na apewe mukate, na atasema: “Tafazali, niweke katika moja ya kazi za ukuhani ili nikule kipande cha mukate.”’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine