-
Yobu 32:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli ule Mubuzi, akaanza kuzungumuza, na kusema:
Kwa hiyo, kwa heshima, nilijizuia,+
Na sikupima kuwaambia mambo yenye ninajua.
-
-
1 Timoteo 5:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Usimukaripie kwa ukali mwanaume mwenye kuzeeka.+ Lakini, umusihi kama baba, na wanaume vijana kama ndugu zako,
-