-
Kutoka 28:38Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Na bamba hilo litakuwa kwenye paji la uso wa Haruni, na Haruni atachukua hatia wakati mutu fulani anatenda kosa juu ya vitu vitakatifu,+ vyenye Waisraeli wanatakasa wakati wanavitoa kuwa zawadi takatifu. Bamba hilo litabakia kwenye paji la uso wake ili Waisraeli wapate kukubaliwa mbele ya Yehova.
-
-
Hesabu 18:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Hamutakuwa na hatia ya zambi katika jambo hili wakati wote wenye mutanitolea muchango wa vitu vya muzuri sana kutoka katika zawadi hizo, na hamupaswe kuchafua vitu vitakatifu vya Waisraeli, ili musikufe.’”+
-