Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+

  • Hesabu 19:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kila mutu mwenye anagusa mutu mwenye amekufa* hatakuwa safi kwa siku saba (7).+

  • Hesabu 19:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kila kitu chenye mutu mwenye haiko safi anagusa hakitakuwa safi, na mutu mwenye anakigusa hatakuwa* safi mupaka mangaribi.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine