Mambo ya Walawi 21:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+ Hesabu 19:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kila mutu mwenye anagusa mutu mwenye amekufa* hatakuwa safi kwa siku saba (7).+ Hesabu 19:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kila kitu chenye mutu mwenye haiko safi anagusa hakitakuwa safi, na mutu mwenye anakigusa hatakuwa* safi mupaka mangaribi.’”+
21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+
22 Kila kitu chenye mutu mwenye haiko safi anagusa hakitakuwa safi, na mutu mwenye anakigusa hatakuwa* safi mupaka mangaribi.’”+