11 Vitu hivi pia vitakuwa vyako: zawadi zenye wanatoa pamoja+ na matoleo yote ya kutikiswa+ ya Waisraeli. Nimekupatia wewe na watoto wako wanaume na watoto wako wanamuke vitu hivyo ili vikuwe posho lenu la kudumu.+ Kila mutu mwenye kuwa safi katika nyumba yako anaweza kula vitu hivyo.+