7 “Kumbuka—usisahau hata kidogo—namna ulimuchokoza Yehova Mungu wako katika jangwa.+ Tangu siku yenye ulitoka katika inchi ya Misri mupaka wakati mulifika mahali hapa, mumemuasi Yehova.+
27 Kwa maana mimi mwenyewe ninajua muzuri uasi wenu+ na ugumu wa moyo wenu.*+ Kama mumekuwa munamuasi sana Yehova wakati ningali muzima pamoja na ninyi, basi itakuwa namna gani kisha kifo changu!