7 Wewe na wana wako muko na daraka la kufanya kazi za ukuhani zenye zinahusu mazabahu na vitu vyenye kuwa ndani ya pazia,+ na munapaswa kufanya utumishi huo.+ Nimewapatia utumishi wa ukuhani kama zawadi, na mutu yeyote mwenye haruhusiwe mwenye atakaribia anapaswa kuuawa.”+