Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:51
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 Kila wakati tabenakulo inahamishwa, Walawi ndio wanapaswa kuibomoa;+ na wakati inasimamishwa, Walawi ndio wanapaswa kuisimamisha; na kama mutu yeyote mwenye haruhusiwe* anakaribia anapaswa kuuawa.+

  • Hesabu 18:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Watajiunga na wewe na kutimiza madaraka yao kuhusiana na hema ya mukutano na utumishi wote wa hema hiyo, na mutu yeyote mwenye haruhusiwe* hapaswe kuwakaribia ninyi.+

  • Hesabu 18:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Wewe na wana wako muko na daraka la kufanya kazi za ukuhani zenye zinahusu mazabahu na vitu vyenye kuwa ndani ya pazia,+ na munapaswa kufanya utumishi huo.+ Nimewapatia utumishi wa ukuhani kama zawadi, na mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye atakaribia anapaswa kuuawa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine