18 Mukuwe waangalifu ili kusikuwe mwanaume ao mwanamuke, familia ao kabila kati yenu leo lenye moyo wake utageuka na kumuacha Yehova Mungu wetu ili kuenda kutumikia miungu ya mataifa hayo,+ ili kusikuwe kati yenu muzizi wenye kuzaa tunda lenye sumu na pakanga.+