1 Samweli 12:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Na wakamuomba Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda zambi,+ kwa maana tumemuacha Yehova ili kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtoreti;+ sasa utuokoe katika mukono wa maadui wetu ili tukutumikie.’ 1 Samweli 12:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Musigeuke ili kufuata mambo yenye hayana maana,*+ yenye hayana faida yoyote+ na yenye hayawezi kuokoa, kwa sababu hayana maana.*
10 Na wakamuomba Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda zambi,+ kwa maana tumemuacha Yehova ili kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtoreti;+ sasa utuokoe katika mukono wa maadui wetu ili tukutumikie.’
21 Musigeuke ili kufuata mambo yenye hayana maana,*+ yenye hayana faida yoyote+ na yenye hayawezi kuokoa, kwa sababu hayana maana.*