Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Akaendelea kuondoa magurudumu* kwenye magari yao na kwa hiyo walikuwa wanayaendesha kwa shida, na Wamisri wakasema: “Tukimbie ili tusikaribie hata kidogo Israeli, kwa sababu Yehova anapigana na Wamisri kwa ajili ya Israeli.”+

  • 1 Samweli 4:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Ole wetu! Ni nani atatuokoa katika mukono wa Mungu huyu mwenye utukufu? Huyu ndiye Mungu mwenye alipiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika jangwa.+

  • Ezra 1:2, 3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Mufalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipatia falme zote za dunia,+ na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalemu,+ yenye kuwa katika Yuda. 3 Mutu yeyote mwenye kuwa kati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake akuwe pamoja naye, na apande kuenda Yerusalemu, yenye kuwa katika Yuda, na kujenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli⁠—yeye ni Mungu wa kweli⁠—​mwenye nyumba yake ilikuwa Yerusalemu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine