-
1 Samweli 4:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Ole wetu! Ni nani atatuokoa katika mukono wa Mungu huyu mwenye utukufu? Huyu ndiye Mungu mwenye alipiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika jangwa.+
-
-
Ezra 1:2, 3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Mufalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipatia falme zote za dunia,+ na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalemu,+ yenye kuwa katika Yuda. 3 Mutu yeyote mwenye kuwa kati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake akuwe pamoja naye, na apande kuenda Yerusalemu, yenye kuwa katika Yuda, na kujenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ni Mungu wa kweli—mwenye nyumba yake ilikuwa Yerusalemu.*
-