Isaya 1:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Aha! Nitaondoa wapinzani wangu,Na nitalipiza kisasi juu ya maadui wangu.+ Isaya 59:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Atawapatia zawabu kulingana na matendo yao:+ Kasirani kali kwa wapinzani wake, malipo kwa maadui wake.+ Na atalipa visiwa kile chenye vinastahili.
24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Aha! Nitaondoa wapinzani wangu,Na nitalipiza kisasi juu ya maadui wangu.+
18 Atawapatia zawabu kulingana na matendo yao:+ Kasirani kali kwa wapinzani wake, malipo kwa maadui wake.+ Na atalipa visiwa kile chenye vinastahili.