-
Hesabu 20:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kisha wakati fulani Yehova akamuambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamukuonyesha imani kwangu na hamukunitakasa mbele ya macho ya watu wa Israeli, hamutaingiza kutaniko hili katika inchi yenye nitawapatia.”+ 13 Hayo ndiyo maji ya Meriba,*+ mahali kwenye Waisraeli walibishana na Yehova, na hivyo akatakaswa kati yao.
-