-
Hesabu 27:12-14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Panda katika mulima huu wa Abarimu,+ na uone inchi yenye nitapatia Waisraeli.+ 13 Kisha kuiona, utakusanywa pia kwa watu wako,*+ kama vile Haruni ndugu yako alikusanywa,+ 14 kwa sababu wakati mukusanyiko ulikuwa unagombana na mimi katika jangwa la Zini, muliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao kupitia maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ kule Kadeshi+ katika jangwa la Zini.”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 1:37Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
37 (Yehova alinikasirikia mimi pia kwa sababu yenu, na alisema, “Wewe pia hautaingia ndani.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 3:26Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
26 Lakini bado Yehova alikuwa amenikasirikia sana kwa sababu yenu,+ na hakutaka kunisikiliza. Tofauti na hilo, Yehova aliniambia, ‘Achia pale! Usiniambie tena juu ya jambo hili.
-