Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:23, 24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kisha Yehova akasema na Musa na Haruni katika Mulima Hori karibu na mupaka wa inchi ya Edomu: 24 “Haruni atakusanywa kwa watu wake.*+ Hataingia katika inchi yenye nitapatia Waisraeli, kwa sababu ninyi wawili muliasi agizo langu kuhusu maji ya Meriba.+

  • Hesabu 33:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Halafu wakaondoka Moseroti na kupiga kambi Bene-yaakani.+

  • Hesabu 33:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Na Haruni kuhani akapanda juu ya Mulima Hori kwa agizo la Yehova na akakufia kule katika mwaka wa makumi ine (40) kisha Waisraeli kutoka katika inchi ya Misri, katika mwezi wa tano (5), siku ya kwanza ya mwezi huo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine