51 kwa sababu ninyi wote wawili hamukukuwa waaminifu kwangu kati ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika jangwa la Zini, kwa sababu hamukunitakasa mbele ya watu wa Israeli.+ 52 Utaona inchi hiyo kwa mbali, lakini hautaingia katika inchi hiyo yenye ninapatia watu wa Israeli.”+