Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kisha wakati fulani Yehova akamuambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamukuonyesha imani kwangu na hamukunitakasa mbele ya macho ya watu wa Israeli, hamutaingiza kutaniko hili katika inchi yenye nitawapatia.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:51, 52
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 kwa sababu ninyi wote wawili hamukukuwa waaminifu kwangu kati ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika jangwa la Zini, kwa sababu hamukunitakasa mbele ya watu wa Israeli.+ 52 Utaona inchi hiyo kwa mbali, lakini hautaingia katika inchi hiyo yenye ninapatia watu wa Israeli.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine