-
Hesabu 18:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kwa maana nimepatia Walawi sehemu moja ya kumi (1/10) yenye watu wa Israeli wanamutolea Yehova kuwa muchango ili ikuwe uriti wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswe kukamata uriti kati ya Waisraeli.’”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 18:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Makuhani Walawi, na kwa kweli kabila lote la Lawi, hawatapewa fungu wala uriti pamoja na Israeli. Watakula matoleo yenye yanatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yenye ni uriti wake.+
-