Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Yehova akaendelea kumuambia Haruni: “Hautakuwa na uriti katika inchi yao, na hautakuwa na sehemu yoyote ya udongo kati yao.+ Mimi ni fungu lako na uriti wako kati ya Waisraeli.+

  • Hesabu 18:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kwa maana nimepatia Walawi sehemu moja ya kumi (1/10) yenye watu wa Israeli wanamutolea Yehova kuwa muchango ili ikuwe uriti wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswe kukamata uriti kati ya Waisraeli.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 18:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Makuhani Walawi, na kwa kweli kabila lote la Lawi, hawatapewa fungu wala uriti pamoja na Israeli. Watakula matoleo yenye yanatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yenye ni uriti wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine