Mambo ya Walawi 21:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+ Mambo ya Walawi 21:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Hawapaswe kujifanyia upara kwenye vichwa vyao+ ao kunyoa mwisho-mwisho wa ndevu zao ao kujikata-kata mwili.+
21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+
5 Hawapaswe kujifanyia upara kwenye vichwa vyao+ ao kunyoa mwisho-mwisho wa ndevu zao ao kujikata-kata mwili.+