35 Tofauti na hilo, muendelee kupenda maadui wenu, kutenda mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa kitu chochote;+ na zawabu yenu itakuwa kubwa, na mutakuwa wana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi, kwa maana yeye ni mwenye fazili kuelekea watu wenye hawana shukrani na waovu.+