Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Unapaswa kumupatia kwa ukarimu,+ na haupaswe* kumupatia kwa kunungunika, kwa maana hiyo ndiyo sababu Yehova Mungu wako atabariki kila tendo na kila kazi yako.+

  • Zaburi 41:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Mwenye furaha ni mutu yeyote mwenye anamuhangaikia mutu wa hali ya chini;+

      Yehova atamuokoa katika siku ya musiba.

  • Mezali 11:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Mutu mumoja anatoa kwa ukarimu* na kujikuta na vitu vingi zaidi;+

      Mwingine anaima wengine kile wanapaswa kupewa, lakini anakuwa maskini.+

  • Mezali 19:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+

      Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+

  • Malaki 3:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Mulete zaka yote* katika depo,+ ili kukuwe chakula katika nyumba yangu;+ na, tafazali, munijaribu kwa njia hii,” ni vile Yehova wa majeshi anasema, “muone kama sitawafungulia milango mikubwa ya maji mengi ya mbingu+ na kuwamwangia baraka mupaka kusikuwe kitu chenye kitakosa.”+

  • Luka 6:35
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 35 Tofauti na hilo, muendelee kupenda maadui wenu, kutenda mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa kitu chochote;+ na zawabu yenu itakuwa kubwa, na mutakuwa wana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi, kwa maana yeye ni mwenye fazili kuelekea watu wenye hawana shukrani na waovu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine