-
Luka 6:34, 35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 Pia, kama munakopesha* wale wenye munatumaini watawalipa, hilo linawapatia ninyi sifa gani?+ Hata watenda-zambi wanakopesha watenda-zambi wenzao ili wawarudishie kiasi kilekile. 35 Tofauti na hilo, muendelee kupenda maadui wenu, kutenda mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa kitu chochote;+ na zawabu yenu itakuwa kubwa, na mutakuwa wana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi, kwa maana yeye ni mwenye fazili kuelekea watu wenye hawana shukrani na waovu.+
-