-
Kumbukumbu la Torati 12:5-7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Lakini, mumutafute Yehova Mungu wenu kila mahali kwenye atachagua kuweka jina lake na mahali kwenye atakaa kati ya makabila yenu yote, na muende pale.+ 6 Ni pale mutapeleka matoleo yenu ya kuteketezwa,+ zabihu zenu, sehemu zenu za kumi,+ muchango kutoka katika mukono wenu,+ matoleo yenu ya naziri, matoleo yenu ya kujipendea,+ na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na kundi lenu.+ 7 Ninyi na watu wa nyumba zenu munapaswa kukulia pale mbele ya Yehova Mungu wenu+ na kushangilia katika kazi zenu zote,+ kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.
-