4 halafu Isaka nikamupatia Yakobo na Esau.+ Kisha wakati fulani nikamupatia Esau Mulima Seiri kuwa uriti wake;+ na Yakobo na wana wake wakashuka kuenda Misri.+
26 Na kutoka kwa mutu mumoja,+ alifanya kila taifa la watu ili wakae juu ya uso wa dunia yote,+ na akaamuru nyakati zenye ziliwekwa na akaweka mipaka ya makao ya watu,+