Kumbukumbu la Torati 29:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 ‘Wakati nilikuwa ninawaongoza kwa miaka makumi ine (40) katika jangwa,+ nguo zenu hazikuzeeka juu yenu na viatu vyenu havikuzeeka kwenye miguu yenu.+ Nehemia 9:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Kwa miaka makumi ine (40) uliwapatia chakula katika jangwa.+ Hawakukosa kitu. Nguo zao hazikuzeeka,+ na miguu yao haikuvimba. Zaburi 23:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Yehova ni Muchungaji wangu.+ Sitakosa kitu.+ Zaburi 34:9, 10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Mumuogope Yehova, ninyi wote watakatifu wake,Kwa maana wale wenye kumuogopa hawakose kitu.+ כ [Kaph] 10 Hata wana-simba wenye nguvu* wamelemewa na njaa,Lakini wale wenye kumutafuta Yehova hawatakosa kitu kizuri.+
5 ‘Wakati nilikuwa ninawaongoza kwa miaka makumi ine (40) katika jangwa,+ nguo zenu hazikuzeeka juu yenu na viatu vyenu havikuzeeka kwenye miguu yenu.+
21 Kwa miaka makumi ine (40) uliwapatia chakula katika jangwa.+ Hawakukosa kitu. Nguo zao hazikuzeeka,+ na miguu yao haikuvimba.
9 Mumuogope Yehova, ninyi wote watakatifu wake,Kwa maana wale wenye kumuogopa hawakose kitu.+ כ [Kaph] 10 Hata wana-simba wenye nguvu* wamelemewa na njaa,Lakini wale wenye kumutafuta Yehova hawatakosa kitu kizuri.+