Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Na Musa akabakia kule pamoja na Yehova kwa siku makumi ine (40), muchana na usiku. Hakukula mukate na hakukunywa maji.+ Na aliandika kwenye yale mabamba maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+

  • Hesabu 12:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Sasa mwanaume huyu Musa alikuwa mupole sana kuliko watu wote*+ juu ya uso wa dunia.

  • Matayo 4:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Kisha Yesu akaongozwa na roho kuenda katika jangwa ili ajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Kisha kufunga kwa siku makumi ine (40) muchana na usiku, akasikia njaa.

  • Matayo 11:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Mubebe nira yangu na mujifunze kupitia mimi, kwa maana mimi ni mwenye tabia ya upole na munyenyekevu katika moyo,+ na mutapata pumuziko kwa ajili yenu.*

  • Yohana 5:46
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 46 Kwa kweli, kama mungemuamini Musa, mungeniamini mimi pia, kwa maana aliandika juu yangu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine