Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 1:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Na mara moja roho ikamuchochea kuenda katika jangwa. 13 Basi akakaa siku makumi ine (40) katika jangwa, akijaribiwa na Shetani.+ Alikuwa pamoja na wanyama wa pori, lakini malaika walikuwa wanamutumikia.+

  • Luka 4:1-4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Basi Yesu, akiwa amejaa roho takatifu, akaondoka kutoka Yordani, na akaongozwa na roho huku na huku katika jangwa+ 2 kwa siku makumi ine (40), akijaribiwa na Ibilisi.+ Na hakukula kitu chochote katika siku hizo, kwa hiyo, wakati ziliisha, akasikia njaa. 3 Halafu Ibilisi akamuambia: “Kama wewe ni mwana wa Mungu, ambia jiwe hili likuwe mukate.” 4 Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu hapaswe kuishi kwa mukate tu.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine