-
Luka 4:1-4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Basi Yesu, akiwa amejaa roho takatifu, akaondoka kutoka Yordani, na akaongozwa na roho huku na huku katika jangwa+ 2 kwa siku makumi ine (40), akijaribiwa na Ibilisi.+ Na hakukula kitu chochote katika siku hizo, kwa hiyo, wakati ziliisha, akasikia njaa. 3 Halafu Ibilisi akamuambia: “Kama wewe ni mwana wa Mungu, ambia jiwe hili likuwe mukate.” 4 Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu hapaswe kuishi kwa mukate tu.’”+
-