-
Yeremia 29:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Na nitawaacha munipate,’+ ni vile Yehova anasema. ‘Na nitakusanya watu wenu wenye walikamatwa mateka na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote kwenye niliwatawanya ninyi,’+ ni vile Yehova anasema. ‘Na nitawarudisha mahali kwenye mulikuwa wakati niliwafanya muende katika uhamisho.’+
-