Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 126 Wakati Yehova alikusanya na kurudisha watu wenye walikamatwa mateka wa Sayuni,+

      Tuliwaza tulikuwa tunaota ndoto.

  • Hosea 6:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Zaidi ya hayo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako,

      Wakati nitakusanya na kurudisha watu wangu wenye walikamatwa mateka.”+

  • Amosi 9:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Nitakusanya na kurudisha watu wenye walikamatwa mateka kati ya watu wangu Israeli,+

      Na watajenga upya miji yenye iliachwa ukiwa na kukaa ndani yake;+

      Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+

      Na watalima mabustani na kula matunda yake.’+

  • Sefania 3:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Wakati huo nitawaingiza ndani,

      Wakati nitawakusanya pamoja.

      Kwa maana nitawafanya kuwa kitu chenye kujulikana sana* na cha kusifiwa+ kati ya vikundi vyote vya watu wa dunia,

      Wakati nitarudisha mbele ya macho yenu watu wenu wenye walikamatwa mateka,” ni vile Yehova anasema.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine