-
Zaburi 126:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
126 Wakati Yehova alikusanya na kurudisha watu wenye walikamatwa mateka wa Sayuni,+
Tuliwaza tulikuwa tunaota ndoto.
-
-
Hosea 6:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Zaidi ya hayo, Ee Yuda, mavuno yamewekwa kwa ajili yako,
Wakati nitakusanya na kurudisha watu wangu wenye walikamatwa mateka.”+
-
-
Sefania 3:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Wakati huo nitawaingiza ndani,
Wakati nitawakusanya pamoja.
-