Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Muji huu na vitu vyote vyenye kuwa ndani vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Rahabu tu+ ule kahaba ndiye anapaswa kuendelea kuishi, yeye na wale wote wenye kuwa katika nyumba yake, kwa sababu alificha wajumbe wenye tulituma.+

  • Matayo 1:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Salmoni akamuzaa Boazi kupitia Rahabu;+

      Boazi akamuzaa Obedi kupitia Rutu;+

      Obedi akamuzaa Yese;+

  • Waebrania 11:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kwa imani Rahabu ule kahaba hakukufa pamoja na wale wenye walitenda kwa kukosa kutii, kwa sababu alipokea wale wapelelezi kwa amani.+

  • Yakobo 2:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Vilevile, je, Rahabu ule kahaba hakutangazwa pia kuwa mwenye haki kupitia matendo, kisha kukaribisha muzuri wale wajumbe na kuwatosha inje kupitia njia ingine?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine