2 Kisha Yoshua mwana wa Nuni akatuma kwa uficho wanaume wawili wapelelezi kutoka Shitimu.+ Akawaambia: “Muende mupeleleze inchi, zaidi sana muji wa Yeriko.” Basi wakaenda na kufika kwenye nyumba ya mwanamuke mumoja kahaba jina lake Rahabu,+ na wakakaa pale.