9“Sikia, Ee Israeli, leo unavuka Yordani+ ili kuingia na kukamata inchi ya mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko wewe,+ miji mikubwa na yenye ngome zenye kufika mbinguni,*+
3 Kwa hiyo, unapaswa kujua leo kwamba Yehova Mungu wako atavuka mbele yako.+ Yeye ni moto wenye kuteketeza,+ na atawaharibu. Atawanyenyekeza mbele ya macho yako ili uwafukuze haraka* na kuwaharibu, kama vile Yehova amekuahidi.+