Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Mukono wako haupaswe kukamata kitu chochote chenye kilitiwa pembeni ili kuharibiwa,*+ kusudi Yehova aache kasirani yake yenye kuwaka na akuonyeshe rehema na huruma na kukufanya uongezeke, kama vile ameapia mababu zako.+

  • 1 Samweli 15:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Lakini, Sauli na watu wake hawakumuharibu* Agagi na wanyama wazuri sana wa kundi, mifugo, wanyama wenye kunenepa, kondoo-dume, na vitu vyote vyenye vilikuwa vya muzuri.+ Hawakutaka kuviharibu. Lakini vitu vyote vyenye vilikuwa havina mafaa yoyote na vyenye kuzarauliwa, hivyo waliviharibu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine