9 Lakini, Sauli na watu wake hawakumuharibu Agagi na wanyama wazuri sana wa kundi, mifugo, wanyama wenye kunenepa, kondoo-dume, na vitu vyote vyenye vilikuwa vya muzuri.+ Hawakutaka kuviharibu. Lakini vitu vyote vyenye vilikuwa havina mafaa yoyote na vyenye kuzarauliwa, hivyo waliviharibu.