-
1 Samweli 15:30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Basi Sauli akasema: “Nimetenda zambi. Lakini uniheshimishe, tafazali, mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Israeli. Rudia pamoja na mimi, na mimi nitamuinamia Yehova Mungu wako.”+
-