1Sasa kulikuwa mwanaume mumoja wa Ramataim-sofimu*+ katika eneo lenye milima la Efraimu+ mwenye jina lake lilikuwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.
19 Halafu wakaamuka asubui sana na kuinama mbele ya Yehova, kisha wakarudia kwenye nyumba yao kule Rama.+ Elkana akafanya ngono na Hana bibi yake, na Yehova akamukazia uangalifu.*+