11 Na akafanya naziri hii: “Ee Yehova wa majeshi, kama utaona mateso ya mutumishi wako na kunikumbuka na kama haumusahau mutumishi wako na umupatie mutumishi wako mutoto mwanaume,+ nitamutoa akuwe wa Yehova sikuzote za maisha yake, na wembe hautagusa kichwa chake.”+