1 Samweli 16:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Basi akamuitisha na akamuingiza ndani. Sasa kijana huyo alikuwa mwekundu, mwenye macho ya kupendeza, na mwenye sura ya muzuri.+ Kisha Yehova akasema: “Simama, umutie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+
12 Basi akamuitisha na akamuingiza ndani. Sasa kijana huyo alikuwa mwekundu, mwenye macho ya kupendeza, na mwenye sura ya muzuri.+ Kisha Yehova akasema: “Simama, umutie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+