10 Unapaswa kumuweka Haruni na wana wake katika madaraka, na watatimiza madaraka yao ya ukuhani,+ na mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye atakaribia atauawa.”+
7 Kwa maana midomo ya kuhani inapaswa kuchunga ujuzi, na watu wanapaswa kutafuta sheria* katika kinywa chake,+ kwa sababu yeye ni mujumbe wa Yehova wa majeshi.