8 Kisha akatengeneza beseni ya shaba+ na kitu cha shaba cha kuweka beseni juu yake; alitumia vioo* vya wanamuke wenye walipangwa muzuri ili kutumikia kwenye muingilio wa hema ya mukutano.
6 Wanapaswa kuwa watakatifu mbele ya Mungu wao,+ na hawapaswe kuchafua jina la Mungu wao,+ kwa sababu wanatoa matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto, mukate wa* Mungu wao, na wanapaswa kuwa watakatifu.+