Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:14-16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 na aliingiza kwa nguvu ndani ya beseni, chungu cha kupikia chenye mikono mbili, sufuria kubwa, ao chungu cha kupikia chenye mukono mumoja. Kitu chochote chenye kanya hiyo iliinua,* kuhani alikuwa anakikamata kwa ajili yake mwenyewe. Ni vile walikuwa wanatenda katika Shilo kwa Waisraeli wote wenye walikuja kule. 15 Pia, hata mbele mutu mwenye kutoa zabihu achome mafuta ili yatoe moshi,+ mutumishi wa kuhani alikuwa anakuja na kumuambia, “Patia kuhani nyama ili achome. Hatakamata nyama yenye kutokoteshwa kutoka kwako, nyama ya mubichi tu.” 16 Wakati mutu huyo alimuambia: “Acha kwanza wahakikishe kwamba mafuta yanachomwa ili yatoe moshi,+ kisha ujikamatie kitu chochote unataka,”* alikuwa anasema: “Hapana, unipatie sasa hivi; kama haunipatie, nitaikamata kwa nguvu!”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine