18 Sasa Samweli alikuwa anatumikia+ mbele ya Yehova, akiwa amevaa efodi ya kitani,+ hata kama alikuwa kijana tu. 19 Pia, mama yake alikuwa anamutengenezea koti ya kidogo yenye haina mikono, na kumuletea mwaka kwa mwaka wakati alipanda pamoja na bwana yake ili kutoa zabihu ya kila mwaka.+