17 Sasa amua jambo lenye utafanya, kwa maana musiba umeamuliwa juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote,+ naye ni mutu mwenye hana mafaa yoyote*+ na hivyo hakuna mutu mwenye anaweza kuzungumuza naye.”
21 Sasa Daudi alikuwa anasema: “Ilikuwa kazi bure kwangu kulinda mali yote ya mutu huyu katika jangwa. Hakuna kitu chake hata kimoja chenye kilipotea,+ lakini ananilipa uovu kwa wema.+