14 Kisha Daudi akatuma wajumbe kwa Ish-bosheti,+ mwana wa Sauli, na kusema: “Unipatie bibi yangu Mikali, mwenye nilichumbia kwa magovi mia moja (100) ya Wafilisti.”+ 15 Kwa hiyo Ish-bosheti akatuma watu wamuchukue Mikali kutoka kwa bwana yake, Paltieli+ mwana wa Laishi.