1 Mambo ya Nyakati 3:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Hawa aliwazaa katika Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Natani,+ na Sulemani;+ mama ya hao ine (4) alikuwa Bat-sheba+ binti ya Amieli. 1 Mambo ya Nyakati 3:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, zaidi ya wana wa masuria,* na Tamari+ alikuwa dada yao.
5 Hawa aliwazaa katika Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Natani,+ na Sulemani;+ mama ya hao ine (4) alikuwa Bat-sheba+ binti ya Amieli.