-
2 Samweli 5:13-16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Daudi akachukua masuria*+ na bibi wengine zaidi katika Yerusalemu kisha kutoka Hebroni, na wakamuzalia Daudi watoto wanaume na watoto wanamuke wengine zaidi.+ 14 Haya ndiyo majina ya watoto wake wenye walizaliwa Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Natani,+ Sulemani,+ 15 Ibhari, Elishua, Nefegi, Yafia, 16 Elishama, Eliada, na Elifeleti.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 14:3-7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Daudi alichukua bibi wengine zaidi+ katika Yerusalemu, na Daudi akazaa watoto wanaume na watoto wanamuke wengine zaidi.+ 4 Haya ndiyo majina ya watoto wake wenye walizaliwa Yerusalemu:+ Shamua, Shobabu, Natani,+ Sulemani,+ 5 Ibhari, Elishua, Elpeleti, 6 Noga, Nefegi, Yafia, 7 Elishama, Beeliada, na Elifeleti.
-