17 Basi wakaingiza Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema yenye Daudi alikuwa amesimamisha kwa ajili ya Sanduku hilo.+ Kisha Daudi akatoa matoleo ya kuteketezwa+ na zabihu za ushirika+ mbele ya Yehova.+
2 mufalme akamuambia nabii Natani:+ “Angalia, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi+ wakati Sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+