Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Haupaswe kumufanyia vile Yehova Mungu wako, kwa sababu mataifa hayo yanafanyia miungu yao kila jambo lenye kuchukiza lenye Yehova anachukia, hata yanateketeza watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke ndani ya moto kwa ajili ya miungu yao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Zaidi ya hayo, alichoma zabihu ili zitoe moshi katika Bonde la Mwana wa Hinomu* na kuteketeza wana wake katika moto,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ yenye Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya Waisraeli.

  • Zaburi 106:37, 38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 Walikuwa wanatoa watoto wao wanaume kuwa zabihu

      Na watoto wao wanamuke kwa pepo wachafu.+

      38 Waliendelea kumwanga damu yenye haina kosa,+

      Damu ya watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke

      Wenye walitoa kuwa zabihu kwa sanamu za Kanaani;+

      Na inchi ikachafuliwa kupitia umwangaji wa damu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine