Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Ahazi, mufalme wa Yuda (1-4)

      • Anashindwa mbele ya Siria na Israeli (5-8)

      • Odedi anaonya Israeli (9-15)

      • Yuda wananyenyekezwa (16-19)

      • Ahazi anaabudu sanamu; kifo chake (20-27)

2 Mambo ya Nyakati 28:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
  • +2 Fal. 16:2

2 Mambo ya Nyakati 28:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sanamu za kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:26, 28; 16:33
  • +Kut 34:17

2 Mambo ya Nyakati 28:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Gehena.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:1, 6; Yer 7:31
  • +Kum 12:31

2 Mambo ya Nyakati 28:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:30
  • +Isa 57:4, 5

2 Mambo ya Nyakati 28:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:5, 6; 2Nya 24:24
  • +2 Sa. 8:6; 1Nya 18:5

2 Mambo ya Nyakati 28:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:37; Isa 7:1
  • +2Nya 15:2; Zab 73:27

2 Mambo ya Nyakati 28:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

2 Mambo ya Nyakati 28:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:23, 24; 22:51

2 Mambo ya Nyakati 28:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:14; 3:8

2 Mambo ya Nyakati 28:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:39, 46; 2Nya 8:9

2 Mambo ya Nyakati 28:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:8

2 Mambo ya Nyakati 28:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:7, 8; Isa 7:10-12

2 Mambo ya Nyakati 28:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kuizunguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 26:1, 6
  • +2Nya 26:10
  • +Yosh. 15:10, 12
  • +2Nya 11:10
  • +Amu 14:1

2 Mambo ya Nyakati 28:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:29; 16:7, 8; 1Nya 5:26
  • +2 Fal. 17:5; Isa 7:20

2 Mambo ya Nyakati 28:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:15, 16; 2Nya 12:9

2 Mambo ya Nyakati 28:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 25:14
  • +2 Fal. 16:10-13
  • +Yer 44:18

2 Mambo ya Nyakati 28:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:17
  • +1 Fal. 6:33, 34; 2Nya 29:7

2 Mambo ya Nyakati 28:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 15:32, 35; 2Nya 21:5, 11; 33:1, 3

2 Mambo ya Nyakati 28:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:19

2 Mambo ya Nyakati 28:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 21:16, 20; 33:20

Maandiko ingine

2 Nya. 28:1Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
2 Nya. 28:12 Fal. 16:2
2 Nya. 28:21 Fal. 12:26, 28; 16:33
2 Nya. 28:2Kut 34:17
2 Nya. 28:32Nya 33:1, 6; Yer 7:31
2 Nya. 28:3Kum 12:31
2 Nya. 28:4Law. 26:30
2 Nya. 28:4Isa 57:4, 5
2 Nya. 28:52 Fal. 16:5, 6; 2Nya 24:24
2 Nya. 28:52 Sa. 8:6; 1Nya 18:5
2 Nya. 28:62 Fal. 15:37; Isa 7:1
2 Nya. 28:62Nya 15:2; Zab 73:27
2 Nya. 28:81 Fal. 16:23, 24; 22:51
2 Nya. 28:9Amu 2:14; 3:8
2 Nya. 28:10Law. 25:39, 46; 2Nya 8:9
2 Nya. 28:142Nya 28:8
2 Nya. 28:162 Fal. 16:7, 8; Isa 7:10-12
2 Nya. 28:182Nya 26:1, 6
2 Nya. 28:182Nya 26:10
2 Nya. 28:18Yosh. 15:10, 12
2 Nya. 28:182Nya 11:10
2 Nya. 28:18Amu 14:1
2 Nya. 28:202 Fal. 15:29; 16:7, 8; 1Nya 5:26
2 Nya. 28:202 Fal. 17:5; Isa 7:20
2 Nya. 28:212 Fal. 18:15, 16; 2Nya 12:9
2 Nya. 28:232Nya 25:14
2 Nya. 28:232 Fal. 16:10-13
2 Nya. 28:23Yer 44:18
2 Nya. 28:242 Fal. 16:17
2 Nya. 28:241 Fal. 6:33, 34; 2Nya 29:7
2 Nya. 28:251 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 15:32, 35; 2Nya 21:5, 11; 33:1, 3
2 Nya. 28:262 Fal. 16:19
2 Nya. 28:272Nya 21:16, 20; 33:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 28:1-27

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 2 Tofauti na hilo, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata alitengeneza sanamu za metali*+ za Mabaali. 3 Zaidi ya hayo, alichoma zabihu ili zitoe moshi katika Bonde la Mwana wa Hinomu* na kuteketeza wana wake katika moto,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ yenye Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya Waisraeli. 4 Aliendelea pia kutoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu,+ kwenye vilima, na chini ya kila muti wenye majani mengi.+

5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamutia katika mukono wa mufalme wa Siria,+ na hivyo wakamushinda na wakabeba watu wengi wenye walikamatwa mateka na kuwapeleka Damasko.+ Alitiwa pia katika mukono wa mufalme wa Israeli, mwenye alimupiga kwa mauaji makubwa. 6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliua katika Yuda watu elfu mia moja makumi mbili (120 000) katika siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa sababu walikuwa wamemuacha Yehova Mungu wa mababu zao.+ 7 Na Zikri, mupiganaji-vita Mwefraimu, akamuua Maaseya mwana wa mufalme na Azrikamu, mwenye alikuwa musimamizi wa nyumba ya mufalme,* na pia Elkana mwenye alikuwa wa pili kisha mufalme. 8 Zaidi ya hayo, Waisraeli walikamata mateka watu elfu mia mbili (200 000) kati ya ndugu zao⁠—​wanamuke, watoto wanaume, na watoto wanamuke; walichukua pia vitu vingi sana katika vita, na wakapeleka vitu hivyo Samaria.+

9 Lakini nabii wa Yehova mwenye kuitwa Odedi alikuwa pale. Akaenda mbele ya jeshi lenye lilikuwa linakuja Samaria na kuwaambia: “Muangalie! Yehova Mungu wa mababu zenu alikasirikia Yuda ndiyo sababu aliwatia katika mukono wenu,+ na ninyi muliwaua kwa kasirani kali yenye imefika mupaka mbinguni. 10 Na sasa munakusudia kufanya watu wa Yuda na Yerusalemu kuwa watumishi wenu wanaume na wanamuke.+ Hata hivyo, je, ninyi pia hamuna hatia mbele ya Yehova Mungu wenu? 11 Sasa munisikilize na murudishe watu wenye walikamatwa mateka wenye mulikamata kutoka kwa ndugu zenu, kwa maana kasirani ya Yehova yenye kuwaka iko juu yenu.”

12 Halafu wamoja kati ya wakubwa wa Waefraimu, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemoti, Yehizkia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakapambana na wale wenye walikuwa wanarudia kutoka katika pambano la kijeshi, 13 na wakawaambia: “Musilete humu watu wenye walikamatwa mateka, kwa maana hilo litatufanya kuwa na hatia mbele ya Yehova. Jambo lenye munataka kufanya litaongeza zambi zetu na hatia yetu, kwa maana tayari hatia yetu ni kubwa na kuko kasirani yenye kuwaka juu ya Israeli.” 14 Basi maaskari hao wenye silaha wakachukua watu hao wenye walikamatwa mateka pamoja na vitu vyenye vinanyanganywa katika vita+ na kutia watu hao na vitu hivyo katika mikono ya wakubwa na kutaniko lote. 15 Kisha wanaume wenye walikuwa wametajwa kwa majina wakasimama na kushika wale watu wenye walikamatwa mateka, na wakachukua nguo kutoka katika vile vitu vyenye vilichukuliwa katika vita kwa ajili ya wale wote kati yao wenye walikuwa uchi. Basi wakawavalisha na kuwapatia viatu, chakula na kinywaji, na mafuta kwa ajili ya ngozi yao. Tena, wakasafirisha kwa punda wale wenye walikuwa wazaifu na kuwapeleka kwa ndugu zao katika Yeriko, muji wa miti ya mitende. Kisha wakarudia Samaria.

16 Wakati huo Mufalme Ahazi akaomba musaada kwa wafalme wa Ashuru.+ 17 Na mara ingine tena Waedomu wakavamia na kushambulia Yuda na wakachukua watu wenye walikamatwa mateka. 18 Wafilisti+ wakavamia pia miji ya Shefela+ na Negebu ya Yuda na kukamata Bet-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederoti, Soko na miji yake ya pembeni-pembeni,* Timna+ na miji yake ya pembeni-pembeni, na Gimzo na miji yake ya pembeni-pembeni; na wakakaa kule. 19 Yehova alinyenyekeza Yuda kwa sababu ya Mufalme Ahazi wa Israeli, kwa maana alikuwa ameachilia mambo katika Yuda, na hivyo kukakuwa ukosefu mukubwa wa uaminifu kumuelekea Yehova.

20 Mwishowe Mufalme Tilgat-pilneseri+ wa Ashuru akakuja kupigana naye na akamuletea taabu+ kuliko kumutia nguvu. 21 Kwa maana Ahazi alikuwa ameondoa mali yote katika nyumba ya Yehova na nyumba ya mufalme+ na nyumba za wakubwa na kupatia mufalme wa Ashuru zawadi; lakini hilo halikumusaidia hata kidogo. 22 Na wakati alikuwa katika taabu, Mufalme Ahazi alitenda kwa kukosa uaminifu hata zaidi kumuelekea Yehova. 23 Akaanza kutoa zabihu kwa miungu ya Damasko+ yenye ilikuwa imemushinda,+ na akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia, nitaitolea zabihu ili inisaidie.”+ Lakini miungu hiyo ilimufanya yeye na Israeli wote wajikwae. 24 Zaidi ya hayo, Ahazi alikusanya vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli; kisha akakata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akafunga milango ya nyumba ya Yehova,+ na kujitengenezea mazabahu katika kila pembe ya Yerusalemu. 25 Na katika miji yote ya Yuda, alijenga mahali pa juu pa kuchoma zabihu ili zitoe moshi kwa ajili ya miungu mingine,+ na akamukasirisha Yehova Mungu wa mababu zake.

26 Na mambo mengine ya historia yake, mambo yote yenye alifanya kuanzia mwanzo mupaka mwisho, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli.+ 27 Kisha Ahazi akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika katika muji, katika Yerusalemu, kwa maana hawakumupeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine