1 Wafalme 1:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 Sadoki kuhani na Natani nabii watamutia mafuta+ kule akuwe mufalme juu ya Israeli; kisha mupige baragumu na kusema, ‘Mufalme Sulemani aishi siku nyingi!’+ Zaburi 18:50 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 50 Anatenda matendo makubwa ya wokovu kwa ajili ya mufalme wake;*+Anaonyesha upendo mushikamanifu kwa mutiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na uzao wake* milele.+
34 Sadoki kuhani na Natani nabii watamutia mafuta+ kule akuwe mufalme juu ya Israeli; kisha mupige baragumu na kusema, ‘Mufalme Sulemani aishi siku nyingi!’+
50 Anatenda matendo makubwa ya wokovu kwa ajili ya mufalme wake;*+Anaonyesha upendo mushikamanifu kwa mutiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na uzao wake* milele.+